Search This Blog
Monday, December 30, 2019
Sudan: Polisi wahukumiwa kifo kwa kumtesa na kumuua mwalimu
Mwalimu Ahmad al-Khair, 36 alifariki wakati ameshikiliwa na Polisi baada ya kukamatwa wakati wa maandamano ya kumtoa Rais Omar al-Bashir madarakani.
Inaelezwa kuwa hii ni moja ya kuhumu za mwanzo kabisa kutolewa mara baada ya machafuko ya kuleta utawala wa demokrasia nchini Sudan. Hakimu anasema kuwa hukumu hizo za kifo ni sehemu ya kutoa funzo.
Baada ya hukumu Jaji aliwauliza kaka wa al-Khair kama anataka polisi hao wasamehewe lakini alikataa na kusema anataka wauwawe, huku Mwanasheria wa upande wa watetezi anasema kuwa atakata rufaa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment