Search This Blog

Thursday, December 26, 2019

Polisi wa Uganda wawatia nguvuni wanne wanaodaiwa kumuua raia wa China


Polisi wa Uganda wamewakamata watuhumiwa wanne kuhusu ya mauaji ya raia wa China katika mji mkuu, Kampala, wiki iliyopita.

Msemaji wa polisi wa Metropolitan, Patrick Onyango alisema katika taarifa kwamba polisi waliwatia baroni watuhumiwa hao wanne.

"Tulipata pia ushahidi kama simu za marehemu kutoka kwao," alisema.

Alisema watuhumiwa walikiri kumuua marehemu kwenye nyumba yake eneo la Mbuya II, Nakawa, kitongoji cha Kampala mnamo Disemba 20 mwaka huu.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...