Search This Blog

Thursday, December 26, 2019

Coutinho afikiria kurudi England


Staa raia wa Brazil, Phillipe Coutinho amefungua mlango wa kurudi kwenye Ligi Kuu England mwakani kama Bayern Munich watagoma kumchukua moja kwa moja wakati muda wake wa mkopo utakapokamilika.

Barcelona wamempeleka Coutinho kwa mkopo Bayern Munich kwa msimu mzima huku kukiwa na makubaliano ya kumchukua jumla kama watapendezwa naye itakapofika mwisho wa msimu.

Kama akishindikana kubaki Bayern, huenda akarudi Uingereza, kwa kuwa klabu za Manchester United na Tottenham Hotspur zimeonekana kutaka huduma zake tangu msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...