Search This Blog
Thursday, December 26, 2019
Kazakhstan: Ndege yenye abiria 100 yaanguka
Ndege ya Shirika la Ndege la Bek Air iliyokuwa na watu 100 (abiria 95 na wahudumu 5) imeanguka nchini Kazakhstan leo asubuhi na kusababisha vifo vya watu 9.
Ndege hiyo imeanguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka uwanja wa Almatty ikielekea Nur-Sultan.
Chanzo cha ajali bado hakijawekwa wazi, lakini watu waliopo karibu na eneo la ajali wamesema kuna ukungu mzito, na kwamba huenda ulichangia kutoka ajali hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment