Mtoto wa Muigizaji Bruce Lee, Shannon Lee ameushtaki mgahawa wa Real Kung Fu wa nchini #China kwa kutumia picha ya baba yake kwa miaka 15 bila kuwa na kibali. Shannon anataka kulipwa fidia ya $30 milioni (TZS 69 bilioni), na TZS 29 milioni ambazo ni gharama za kesi. 📸
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment