Search This Blog
Saturday, December 28, 2019
Msanii kutoka kundi la Weusi, G Nako afunga ndoa Dar
Msanii G Nako kutoka kundi la Weusi amefunga pingu za maisha na mpenzi wake na mama watoto wake aitwaye Js Yasinta.
Amefunga ndoa hiyo hapo jana katika kanisani maeneo ya Osterbay jijini Dar es Salaam ikiwa zimepita siku 10 tangu kumvalisha pete ya uchumba.
Miongoni mwa wasanii waliohudhuria ni pamoja na Nikki wa Pili, Joh Makini na Jux.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment