Search This Blog
Saturday, December 28, 2019
Watu saba wakutwa wamefariki barabarani nchini Afrika Kusini
Miili ya watu saba iliyokuwa na majeraha ya bunduki imepatikana hapo juzi nchini Afrika Kusini karibu na barabara kuu katika mji mkuu wa Johannesburg,
Msemaji wa polisi nchini humo Noxolo Kweza alisema waliofariki wanashukiwa kuhusika na uchimbaji haramu wa madini.
Wahasiriwa hao, ambao wote ni wanaume wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40, bado hawajatambuliwa.
Kumekuwa na mapigano kati ya wachimbaji haramu hapo zamani, lakini bado haijulikana kama vifo hivyo vilihusishwa na mapigano hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment