Search This Blog
Thursday, December 26, 2019
Liverpool yazidi kutoa kichapo Ligi Kuu England
Liverpool imeendeleza Ubabe Ligi Kuu England baada ya Kuitandika timu inayoifuatia kwa karibu kwenye msimamo Leicester City ikiwa nafasi ya pili Mabao 4 kwa bila katika dimba la King Power
Magoli ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika 31, bao la pili likifungwa na Milner kwa mkwaju wa Penalt huku Firmino akirudi tena wavuni kufunga bao la tatu na bao la nne likifungwa na Alexander Anord ndani ya dakika 78 akipokea pasi safi kutoka kwa Sadio Mane
Liverpool inaendelea kushika usukani wa msimamo wa Ligi kwa kuwa na alama 52 huku Leicester ikibaki na alama 39, Manchester city yenye alama 38 itashuka dimbani dhidi ya Wolverhampton, ikishinda mchezo huo itasogea hadi nafasi ya pili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment