Search This Blog
Thursday, December 26, 2019
Kampuni ya vyakula yashtakiwa kwa kutumia picha ya Bruce Lee bila kibali
Mtoto wa Muigizaji Bruce Lee, Shannon Lee ameushtaki mgahawa wa Real Kung Fu wa nchini China kwa kutumia picha ya baba yake bila kuwa na kibali.
Shannon anataka kulipwa fidia ya $30 milioni sawa na Tsh. Milioni Bilioni 69), na Tsh. Milioni 29 ambazo ni gharama za kesi.
Kampuni ya 'Kungfu Catering' imeshtakiwa kwa tuhuma za kutumia sura ya Bruce Lee kwa muda wa miaka 15 bila ya kupewa kibali cha kufanya hivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment