Search This Blog

Saturday, December 21, 2019

Kesi ya Mwanamuziki RIHANNA na Baba Yake Mzazi Yaelekea Pabaya

Mambo yanaweza kwenda pabaya kama Rihanna na Baba yake hawatamaliza Kesi yao vizuri.

Mtandao wa HNHH umeripoti kwamba Rihanna alimtaarifu baba yake mzee Ronald Fenty kuhusu kufika mahakamani March 18 au 19 mwaka 2020 kwa ajili ya usuluhishi lakini bado mzee wake hajampa jibu la Ndio.

Riri alimburuza mahakamani Baba yake kwa kutumia chapa ya FENTY kujiingizia kipato bila idhini yake kama mmiliki halali wa Chapa hiyo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...