Mambo yanaweza kwenda pabaya kama Rihanna na Baba yake hawatamaliza Kesi yao vizuri.
Mtandao wa HNHH umeripoti kwamba Rihanna alimtaarifu baba yake mzee Ronald Fenty kuhusu kufika mahakamani March 18 au 19 mwaka 2020 kwa ajili ya usuluhishi lakini bado mzee wake hajampa jibu la Ndio.
Riri alimburuza mahakamani Baba yake kwa kutumia chapa ya FENTY kujiingizia kipato bila idhini yake kama mmiliki halali wa Chapa hiyo.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment