Search This Blog
Saturday, December 21, 2019
Kala Jeremiah Afunguka Kuhusu BARUA Aliyoandikiwa na Basata...
Rapper Kala Jeremiah amesema kuwa kitendo cha Serikali kumuandikia barua ya pongezi na shukrani kimemuongezea chachu na kuongeza ubunifu zaidi katika kazi yake ya sanaa.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambaye ndio msimamizi wa shughuli za sanaa hapa Nchini walimuandikia msanii huyo barua tarehe 05/12/2019 ya shukrani na pongezi baada ya kuguswa na mchango wake kupitia sanaa.
Kala amesema barua hiyo anaichukulia kama ni Tuzo kwani kwa miaka kadhaa kumekosekana Tuzo licha ya Wasanii wengi kufanya vizuri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment