Search This Blog

Saturday, December 21, 2019

Ali Kiba Amuiga DIAMOND Platnumz...Auonesha Studio na Makao Makuu ya Label yake

Msanii AliKiba ametuonesha kile kilichoonekana kama mfano wa Studio na Makao Makuu ya Label yake, Kings Music Records.

Kupitia picha ambazo ameziweka hapa instagram muda mchache uliopita, #KingKiba ameambatanisha na ujumbe usemao 'Soon' yaani hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...