Search This Blog

Tuesday, December 10, 2019

AL SHABAAB Tena..Wavamia Hotel na Kuanza Kufyatua Risasi Somalia


Milio ya risasi imerindima kati ya Wanamgambo wa Al-Shabaab na Walinzi wa Hoteli ya Kifahari ya SYL katika Mji Mkuu wa Somalia, Mogadishu

Al-Shabaab wamevamia hotel hiyo iliyo karibu na Makazi ya Rais inayotumiwa zaidi na viongozi wengi wa Kisiasa wakiwemo Mawaziri

Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Wapiganaji hao wa Al-Shabaab waliingia hotelini hapo wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Somalia na kuanza kufyatua risasi

Idadi ya Vifo bado haijajulikana lakini wakati wa kufyatua risasi kulikuwa na Viongozi kadhaa ambao baadhi hawajulikani walipo na wengine walifanikiwa kutoroka kwa kuruka ukuta

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...