Search This Blog

Tuesday, December 10, 2019

Haya Ndio Majibu ya Beyonce Kuhusu Kuwa na Ujauzito Tena....

Beyonce amejibu taarifa za kuwa mjamzito baada ya kuibuka kwa muda mrefu sasa, ni kwenye mahojiano na Jarida la ELLE toleo la Januari 2020.

Mwandishi alimuuliza "Wewe ni mjamzito?" Queen Bey alijibu "Achaneni na viungo vyangu (Ovaries) vya uzazi." 👀
1m

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...