Search This Blog
Tuesday, December 10, 2019
Gigy Money "Mimi Nimezaa Lakini Naenjoy Maisha Sana Napambana Mwenyewe, Kuzaa sio Kuzeeka""
Mimi nimezaa nimezeeka? siyo kwamba mwanamke akizaa anazeeka, hiyo inatokana na wewe mwenyewe unavyojitunza. Kwa wale waliojaaliwa kuzaa, wazae tu! Hawanioni mimi sasa hivi ninavyoinjoi na Mayra wangu? Haijalishi anatunzwa na baba au hatunzwi, napambana mwenyewe,” Gigy ameliambia Ijumaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment