Search This Blog
Thursday, November 28, 2019
Waziri Ummy awashukuru Wahisani kutoka Korea
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu awashukuru Wahisani kutoka nchi ya Korea kwa msaada katika Sekta ya Afya nchini.
Amesema, vituo kadhaa vya kutolea huduma za afya hapa nchini vilivyopo katika maeneo ya Mbagala, Temeke, Chanika, Sinza na maeneo mengine ukiacha Hospitali ya Taifa Muhimbili Tawi la Mlonganzila jijini Dar es Salaam vimejengwa na kufanyiwa ukarabati mkubwa kwa ufadhili wa wahisani kutoka nchi za Korea.
Waziri Ummy amesema haya, alipokutana na wahisani mbalimbali kutoka nchini Korea Kusini katika Ofisi za Wizara NHIF Jijini Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment