Search This Blog

Thursday, November 28, 2019

Waziri Ummy awashukuru Wahisani kutoka Korea


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu awashukuru Wahisani kutoka nchi ya Korea kwa msaada katika Sekta ya Afya nchini.

Amesema, vituo kadhaa vya kutolea huduma za afya hapa nchini vilivyopo katika maeneo ya Mbagala, Temeke, Chanika, Sinza na maeneo mengine ukiacha Hospitali ya Taifa Muhimbili Tawi la Mlonganzila jijini Dar es Salaam vimejengwa na kufanyiwa ukarabati mkubwa kwa ufadhili wa wahisani kutoka nchi za Korea.

Waziri Ummy amesema haya, alipokutana na wahisani mbalimbali kutoka nchini Korea Kusini katika Ofisi za Wizara NHIF Jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...