Search This Blog
Sunday, October 20, 2019
Waliobambikiwa fedha bandia wahitajika kwa DC Sabaya
Mtandao wa usambazaji wa pesa bandia umeanza kukamatwa katika wilaya ya Hai baada ya mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumkamta Mtuhumiwa Richard, akiwa na kiasi cha pesa za Bandia milioni 11.
Mtuhumiwa huyo amekamatwa na fedha hizo katika mji wa Bomang'ombe wakati akijiandaa kuzisambaza.
Hata hivyo mkuu huyo wawilaya ameagiza wananchi wote wa wilaya hiyo walioshikishwa fedha hizo kufika ofisini kwake jumatatu ya tarehe 21 Octoba 2019.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment