Search This Blog

Sunday, October 20, 2019

Waliobambikiwa fedha bandia wahitajika kwa DC Sabaya


Mtandao wa usambazaji wa pesa bandia umeanza kukamatwa katika wilaya ya Hai baada ya mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumkamta Mtuhumiwa Richard, akiwa na kiasi cha pesa za Bandia milioni 11.

Mtuhumiwa huyo amekamatwa na fedha hizo katika mji wa Bomang'ombe wakati akijiandaa kuzisambaza.

Hata hivyo mkuu huyo wawilaya ameagiza wananchi wote wa wilaya hiyo walioshikishwa fedha hizo kufika ofisini kwake jumatatu ya tarehe 21 Octoba 2019.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...