Search This Blog
Sunday, October 27, 2019
Ommy Dimpoz Ashinda TUZO Marekani, Awamwaga Alikiba na Harmonize
Msanii Ommy Dimpoz amefanikiwa kunyakua tuzo ya msanii bora kiume kutoka Afrika Mashariki, Best Male East Africa kwenye tuzo za Afrimma zilizotolewa Dallas Texas, Marekani usiku wa jana.
Dimpoz amefanikiwa kuwamwaga Alikiba, Nyanshinki, Jux, Harmonize na wengine waliokuwa wanawania kwenye kinyang'anyiro hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment