Search This Blog
Thursday, October 10, 2019
Marekani: Wakuta dawa za kulevya ufukweni wakiwa likizo
Familia moja ambayo ilikuwa likizoni katika pwani ya jimbo la Marekani la South Carolina ilishangaa wakati walipota kifurushi kutoka baharini chenye dawa ya kulevya aina ya cocaine zenye thamani ya dola za Kimarekani 600,000.
Vyombo vya habari vimemnukuu afisa wa polisi, Bob Bromage akisema kwamba familia hiyo ilikuta kifurushi hicho kikielea karibu na pwani ya Kisiwa cha Fripp Jumapili usiku.
Familia hiyo walichukua kifurushi hicho chenye uzito wa kilo 20 na kupata matofali ya poda nyeupe ndani. Baadaye polisi walitabua kuwa poda nyeupe ilikuwa cocaine, yenye bei ya soko ya karibu dola 600,000.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment