Search This Blog

Thursday, October 10, 2019

Makamu wa Rais azuru Hospitali ya Mkoa na kutoa onyo


Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuangalia changamoto mbalimbali zilizopo kwenye hospitali hiyo na kuuagiza uongozi wa hospitali hiyo kushughulikia na kusimamia vizuri matumizi ya fedha kwaajili ya mahitaji yaliyopangwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...