Search This Blog
Thursday, October 10, 2019
Makamu wa Rais azuru Hospitali ya Mkoa na kutoa onyo
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuangalia changamoto mbalimbali zilizopo kwenye hospitali hiyo na kuuagiza uongozi wa hospitali hiyo kushughulikia na kusimamia vizuri matumizi ya fedha kwaajili ya mahitaji yaliyopangwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment