Search This Blog
Thursday, October 3, 2019
Hoja: Watanzania Wengi Wanapenda Mambo ya Hovyo...
Mdau kutoka JamiiForums anasema kwa uchunguzi alioufanya amegundua mambo ya hovyo yana mashabiki wengi kuliko mambo ya maana
Anasema mtu akiandika habari za udaku na ujinga anapata michango mingi kutoka kwa jamii kuliko mtu aliyechambua mambo makubwa ya kitaifa yenye hata kurasa moja
Anaongeza kwa kueleza kuwa Watanzania wapo tayari kusoma mistari miwili hata kama haina faida kwao na kuchangia mada na wakaacha kusoma mistari 100 yenye maudhui ya kuwajenga kwa dhana kwamba wanapoteza muda
Maoni yako ni yapi katika hili?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment