Search This Blog
Thursday, October 3, 2019
ATM ya Kwanza ya Kutoa Maziwa Yazinduliwa Tanzania
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezindua ATM ya kwanza ya Maziwa Nchini katika mji wa Moshi yenye uwezo wa kutoa maziwa kulingana na kiwango chako cha fedha
Unaweza kupata maziwa kuanzia kwa Tsh. 50, 100, 400, 600, 1000, 2000, na kuendelea
Mradi huu umefadhiliwa na Umoja wa Ulaya na Kusimamiwa na SNV pamoja na Match Maker Associates ambapo wameweza kujenga ATM 3 za kuuza Maziwa
ATM zingine zipo Wilaya ya Hai na nyingine ipo Mjini Arusha. Sambamba na hili, RC amezindua Jukwaa la Ubunifu la Maziwa Mkoani humo na amekubali kuwa mlezi wa Jukwaa hilo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment