Search This Blog

Saturday, October 19, 2019

China yakumbwa na Ukame

Ukame umeleta hofu kubwa katika mkoa wa Jiangxi, mashariki mwa China.

 Kulingana na shirika la habari la China Shinhua, tahadhari imetangazwa juu ya kupungua kwa  sehemu ya Mto wa Gan, ulio katika mji mkuu wa jimbo la Nanchang, ambao unapita nchini  magharibi kwenda mashariki.

Dalili zote zinaonyesha hali ya ukame.

 Katika mkoa huo, kati ya Julai na Oktoba, kiasi cha mvua kwa mita ya mraba kilikuwa kipimo mita za ujazo 96.  Hii ilirekodiwa kama asilimia 70 chini ya mvua ya wastani katika miaka iliyopita.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...