Watu saba wamefariki baada ya mlipuko wa tanki la mafuta katika jimbo la Enugu la Nigeria.
Kulingana na ripoti ya vyombo vya habari vya kitaifa, tenki hiyo imelipuka wakati wa kutoa mafuta kwenye kituo cha mafuta cha barabara ya Enugu-Onitsha.
Sababu ya kulipuka kwa tenki hiyo haijajulikana.
Kulingana na ripoti ya kwanza ya mlipuko huo, watu 7 wamepoteza maisha yao na watu wengi wamejeruhiwa.
Mamlaka imesema kuna wasiwasi idadi ya waliokufa inaweza kuongezeka.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment