Search This Blog

Saturday, October 19, 2019

Watu 7 wapoteza maisha kufuatia kulipuka kwa tanki la mafuta

Watu saba wamefariki baada ya mlipuko wa tanki la mafuta katika jimbo la Enugu la Nigeria.

 Kulingana na ripoti ya vyombo vya habari vya kitaifa, tenki hiyo imelipuka wakati wa kutoa mafuta kwenye kituo cha mafuta cha barabara ya Enugu-Onitsha.

Sababu ya kulipuka kwa tenki hiyo haijajulikana.

 Kulingana na ripoti ya kwanza ya mlipuko huo, watu 7 wamepoteza maisha yao na watu wengi wamejeruhiwa.

 Mamlaka imesema kuna wasiwasi idadi ya waliokufa inaweza kuongezeka.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...