Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.8 limetokea Papua mashariki mwa Indonesia.
Kituo cha Utafiti wa Jiolojia cha Marekani (USGS), kimetangaza kuwa tetemeko hilo limetokea kilometa 138 kusini magharibi na kufikia kina cha kilomita 10.
Haijulikani bado ikiwa tetemeko la ardhi limesababisha uharibifu wa maisha au mali.
Hakuna onyo la Tsunami lililotolewa.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment