Search This Blog

Sunday, September 15, 2019

Barcelona yaishushia kichapo Valencia

Klabu ya Barcelona imewashushia mvua ya magoli Valencia kwa kuichapa magoli 5-2 kwenye mchezo wa Ligi ya Hispania.

Magoli ya Barcelona yalifungwa na Ansu 2', De Jong 7', Pique 51', Suarez 61', 82' na yale ya Valencia yakifungwa na| Gameiro 27', Gomez 90'.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...