Klabu ya Barcelona imewashushia mvua ya magoli Valencia kwa kuichapa magoli 5-2 kwenye mchezo wa Ligi ya Hispania.
Magoli ya Barcelona yalifungwa na Ansu 2', De Jong 7', Pique 51', Suarez 61', 82' na yale ya Valencia yakifungwa na| Gameiro 27', Gomez 90'.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment