Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta, baada ya kuanza na msimu mbaya katika Ligi Kuu ya nchini humo.kwa kupoteza michezo miwili jana imeanza kwa kishindo.
Genk iliyokuwa imepoteza michezo yake miwili kati ya minne niliyocheza, jana imeibuka na ushindi.mnono dhidi ya Waasaland Beveren kwa ushindi wa magoli 4-0.
Ushindi huo wa Genk ulichagizwa na hat trick ya Mbwana Samatta aliyefunga magoli matatu dakika ya 53, 66 na 86, hiyo baada ya Paintsil kufunga goli la Kwanza dakika ya 21, Samatta pia ametangazwa mchezaji bora wa mechi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment