Watu 8 wamepoteza maisha yao katika moto kwenye hoteli huko Odessa nchini Ukraine.
Katika taarifa iliyoandikwa kutoka kwa Huduma ya Dharura ya Jimbo la Ukraine, watu nane wamepoteza maisha katika hoteli ya "Tokio Star" huku watu wengine10 wakiwa wamejeruhiwa.
Haijajulikana bado chanzo kamili cha kutokea kwa moto huo.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment