Search This Blog

Sunday, August 4, 2019

Rais Mstaafu Kikwete akutana na Mwalimu wake wa Shule ya Msingi


Rais mstaafu awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete, leo amemtembelea Mzee Raphael Semindu Simon, ambaye ni mwalimu aliyemfundisha darasa la kwanza katika shule ya msingi Msoga mwaka 1958.

Kikwete amesema amefika hapo alipo kutokana na mchango adhimu wa mwalimu huyo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...