Search This Blog
Sunday, August 4, 2019
Rais Mstaafu Kikwete akutana na Mwalimu wake wa Shule ya Msingi
Rais mstaafu awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete, leo amemtembelea Mzee Raphael Semindu Simon, ambaye ni mwalimu aliyemfundisha darasa la kwanza katika shule ya msingi Msoga mwaka 1958.
Kikwete amesema amefika hapo alipo kutokana na mchango adhimu wa mwalimu huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment