Search This Blog
Wednesday, August 28, 2019
Prof. Jay awavaa COSOTA “acheni uongo sijalipwa Milioni mia, amepewa P Funk”
Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni Msanii wa Bongofleva Prof. Jay amewafungukia COSOTA katika ukurasa wake wa Twitter akiwataka kuweka kumbukumbu zao sawa juu ya yeye kulipwa Milioni 100.
“COSOTA mmekuja kwenye kikao cha Kamati ya Bunge na kusema uwongo kwamba mmenisimamia mimi PROFESSOR JAY nikalipwa sh. Milioni 100 kutoka UGANDA ukweli ni kwamba sijalipwa hata cent TANO na PESA Zote amelipwa P FUNK MAJANI chini ya usimamizi wenu wekeni vizuri hiyo kumbukumbu yenu” Prof. Jay
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment