Search This Blog

Wednesday, August 28, 2019

Unaambiwa RC Mokonda na Chalamila Kurudi Shule Kusoma....



Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila watakuwa viongozi vijana wa kwanza kurudi shule kusoma somo la uongozi.

Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) , Dkt Bashiru Ally amesema RC Dar es Salaam, Paul Makonda na RC Mbeya, Albert Chalamila wanatakiwa kurudi shule kusoma "somo la uongozi.

Dkt Bashiru amesema wakuu hao wa mikoa watakuwa viongozi wa kwanza vijana wa CCM kurudi shule kusoma, ikiwa ni mkakati wa chama hicho kutoa elimu kwa viongozi vijana.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...