Search This Blog
Wednesday, August 28, 2019
Unaambiwa RC Mokonda na Chalamila Kurudi Shule Kusoma....
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila watakuwa viongozi vijana wa kwanza kurudi shule kusoma somo la uongozi.
Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) , Dkt Bashiru Ally amesema RC Dar es Salaam, Paul Makonda na RC Mbeya, Albert Chalamila wanatakiwa kurudi shule kusoma "somo la uongozi.
Dkt Bashiru amesema wakuu hao wa mikoa watakuwa viongozi wa kwanza vijana wa CCM kurudi shule kusoma, ikiwa ni mkakati wa chama hicho kutoa elimu kwa viongozi vijana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment