Search This Blog
Monday, August 19, 2019
Mbwana Samatta afunga hat-trick Ubelgiji na kuisadia KRC Genk kupata ushindi mkubwa
Mshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta anayeichezea klabu ya KRC Genk nchini Ubelgiji siku ya Jumamosi aligonga vichwa vya habari baada ya kuisaidia timu yake kufunga hat-trick katika mechi ya ligi ya Ubelgiji dhidi ya klabu ya Waasland-Beveren.
Samatta alifiunga magoli hayo katika mechi ilioipatia timu yake ushindi mkubwa ugenini.
Mshambuliaji huyo alifunga goli lake la kwanza katika dakika ya 52 baada ya mchezaji mwenza Paintisil kuiweka kifua mbele KRC Genk kunako dakika ya 21.
'
Wachezaji wa EPL wanapumzika vya kutosha?
Baadaye mshambuliaji huyo alifongeza goli la pili na la tatu kwa jumla katika dakika ya 66.
katika ukurasa wake wa instagram Samatta aliandika: Ni Furaha kupanta pinti tatu muhimu leo nje ya nyumbani. Timu ilkicheza vizuri. Na tunawashukuru mashabiki waliosafiri kutupa sapoti.Pia nina furaha kufunga hat-trick yangu ya kwanza msimu huu na nina imani nyingi zitakuja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment