MUUZA nyago kwenye video za wanamuziki mbalimbali Bongo, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ amefunguka kuwa atamnyonyesha mwanaye hadi mwisho kwani yeye siyo sistaduu.
Akichonga na Shusha Pumzi, Jike Shupa alisema kulikuwa na maneno mengi yaliyokuwa yakisemwa alipokuwa mjamzito kuwa hataweza kulea mtoto atakayemzaa, lakini sasa anafanya hivyo.
“Nataka kuwaonesha niko tofauti kabisa na wanavyonifikiria. Kwanza ninamnyonyesha mtoto wangu na nitamnyonyesha hadi mwenyewe asema mama inatosha, acha niende shule,” alisema Jike Shupa ambaye alijifungua mtoto wa kike hivi karibuni.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment