Search This Blog

Monday, August 12, 2019

Breaking News; Lori Jingine la Mafuta Lateketea Ruvuma



Breaking News; Lori Jingine la Mafuta Lateketea Ruvuma



Lori jingine la mafuta aina ya Scania, lenye namba ya usajili T 243 BCU, na tela T 685 DCV mali ya Kampuni ya Njombe Filling Station, limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali katika Kijiji cha Ngadinda Halmashauri ya Madaba Ruvuma.


Kamanda wa Polisi amethibitisha kuungua kwa Lori hilo na kusisitiza.
Imeelezwa kuwa Dereva wa lori hilo hajapatikana na inasadikiwa huenda atakuwa ameungua kwa  moto huo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...