Search This Blog
Tuesday, July 2, 2019
Mkapa aenzi miaka 20 ya chuo cha SAUT
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ameshiriki katika hafla ya maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) cha mkoani Mwanza.
Kwenye hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo ambapo Rais mstaafu ameiomba serikali kuweka mazingira yenye uwiano sawa wa utoaji wa elimu kwa vyuo vikuu vya umma na vile vya binafsi ili kuepusha dhana potofu kuwa vyuo vya umma vinathaminiwa zaidi.
Pia Rais mstaafu Mkapa ameiomba serikali kufanya mapitio ya mara kwa mara ya sera ya elimu ya juu ili kuendana na hali halisi ya muda husika kwa kuwa vyuo hivyo ni njia ya kuwandaa viongozi wa taifa hili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment