Search This Blog
Tuesday, July 2, 2019
Kenya yaruhusiwa kuanzisha mashindano ya mbio za magari
Kenya imeruhusiwa kuanzisha mashindano ya mbio za magari maarufu Safari Rally ili kufuzu kushiriki katika World Rally Championships(WRC).
Viongozi wa kimataifa wa Automobile Federation (FIA) walithibitisha Jumanne, wakisema kuwa mashindano hayo yatakuwa kikwazo cha mwisho kabla ya kuruhusiwa kushiriki katika WRC. 2020.
Mashindano hayo ya Safari Rally yata tafanyika Juni 5-7 huko Nairobi na Naivasha, karibu kilomita 90 kaskazini magharibi mwa Nairo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment