Search This Blog
Tuesday, July 2, 2019
AFCON 2019: Timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora
Mara baada ya kumalizika hatua ya makundi ya michuano ya Soka Barani Afrika (AFCON) 2019, hizi ndio timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora kwa ajili ya mtoano.
Kundi A: Misri, Uganda na DR Congo.
Kundi B: Madagascar na Nigeria, Guinea.
Kundi C: Algeria na Senegal.
Kundi D: Morocco, Ivory Coast na Afrika Kusini.
Kundi E: Mali na Tunisia.
Kundi F: Ghana, Cameroon, Benin.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment