Search This Blog

Tuesday, July 2, 2019

AFCON 2019: Timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora


Mara baada ya kumalizika hatua ya makundi ya michuano ya Soka Barani Afrika (AFCON) 2019, hizi ndio timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora kwa ajili ya mtoano.

Kundi A: Misri, Uganda na DR Congo.

Kundi B: Madagascar na Nigeria, Guinea.

Kundi C: Algeria na Senegal.

Kundi D: Morocco, Ivory Coast na Afrika Kusini.

Kundi E: Mali na Tunisia.

Kundi F: Ghana, Cameroon, Benin.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...