Search This Blog
Monday, July 15, 2019
Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Goma, DR Congo
Nchi ya DR Congo imethibitisha kisa cha kwanza cha Ebola katika mji mdogo wa Goma ambao uko na wakaazi milioni moja.
Mchungaji aliyekuwa amesafiri na basi kilomita 200 kutoka eneo la Butembo hadi Goma alipatikana akiwa na virusi hivyo baada ya ukaguzi punde tu alipowasili na anaaminika kuwa alikutana na watu wenye ugonjwa huo katika eneo la Butembo.
Dereva wa basi hilo na abiria wengine 18 watapewa chanjo kwa kuwa ugonjwa huo, unaweza kusambaa kupitia mgusoano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment