Search This Blog

Monday, July 15, 2019

Chuo cha Ufundi cha China na VETA kujenga Chuo cha pamoja


Chuo cha ufundi cha Tanzania (VETA) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na chuo cha Henan Agricultural Vocational College cha nchini China katika mpango wa ujenzi wa chuo cha pamoja, kubadilishana wanafunzi, pamoja na mafunzo kwa waalimu wa chuo cha VETA.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...