Search This Blog
Tuesday, July 23, 2019
Mgogoro wa Zidane na Bale huenda ukashusha thamani zao
Mgogoro unaoendelea kati ya Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane na mchezaji wake Gareth Bale umeelezwa kuwa unaidumisha thamani ya nyota huyo.
Zidane hivi karibuni aliripotiwa akimwambia mchezaji wake kuwa haitajiki ndani ya klabu hiyo na anapaswa kuondoka kwani hana nafasi.
Rais wa Madrid, Florentino Perez imeripotiwa hakuwa na furaha kwani hapendi kuona migogoro ndani ya timu hiyo kwa kuwa anaamini itashusha thamani ya mchezaji wake na suala zima la kumpeleka nchini China linatazamiwa kuwa la malipo ya kodi nyingi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment