Search This Blog
Tuesday, July 23, 2019
Wadiwani walia na nyongeza ya Posho
Mkutano Mkuu wa 35 ALAT Taifa unaendelea jijini Mwanza huku Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akitarajiwa kuuzindua rasmi baadaye ukiwa ni mkutano wa siku tatu ulioanza jana Jumatatu, Julai 22.
Katika salaam za awali za Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu ambaye pia ni Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Mwanza, Hilali Elisha amemuomba waziri mkuu kuangalia upya waraka uliopunguza posho za madiwani.
Amesema kuwa katika waraka huo yalitolewa maelekezo ya kupunguzwa kwa posho hizo hadi kufikia Shilingi 40,000 kwa kikao na kufuta malipo ya nauli za madiwani kitendo kilichowafanya madiwani hao kuishi kwa shida na kupunguza kasi ya kuwaletea maendeleo wananchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment