Search This Blog

Tuesday, July 23, 2019

Mara wapongezwa kuwa kudhibiti unyanyasaji wa kijinsia


Mkoa wa Mara umepongezwa katika mapambano dhi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia hususan vya ubakaji kwa watoto wa kike.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknelojia, Prof Joyce Ndalichako ndiye aliyetoa pongezi hizo akiwa wilayani Bunda mkoani Mara baada ya kupokea taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima.

Awali akitoa taarifa kwa waziri huyo wa Elimu, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima amesema Mkoa wa Mara umeendelea kupambana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ambapo hadi sasa takribani watu 12 wamehukumiwa kwenda jela kutokana na vitendo hivyo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...