Wakati akiwa katika wakati mgumu kutokana na kupata majeraha ya kifundo cha mguu na kuondolewa katika michuano ya Copa America, Neymar anazidi kuingia katika wakati mgumu kutokana na kashfa yake ya ubakaji kuzidi kushika kasi na kuchukua sura mpya.
Imeripotiwa kuwa Polisi nchini Brazil wamemuita Neymar na kumuhoji kwa saa tano ili kubahini ukweli wa tuhuma dhidi yake, pamoja na kuwa Neymar aliwahi kutumia ukurasa wake wa instagram kujisafisha na kukanusha tuhuma dhidi yake ila mambo yanazidi kuwa makubwa zaidi.
Neymar amefanyiwa mahojiano hayo kwa saa tano baada ya kuwa na kesi yenye tuhuma za ubakaji akiwa nchini Ufaransa Paris mwezi uliopita katika hotel, mwanamke anayedaiwa kuwa nae Neymar inaelezwa kuwa walikutana nae mtandaoni
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment