Search This Blog
Tuesday, June 25, 2019
RC Tanga aeleza kujipanga kutokomeza dawa za kulevya
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela amesema kuwa Serikali inaendelea kujitahidi kuhakikisha inatokomeza biashara ya dawa za kulevya katika mkoa huo ikiwemo kufanya operesheni maalum kwenye mipaka ambayo inapakana na nchi jirani ya Kenya.
Shigela ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi na ukaguzi wa mabanda ya biashara pamoja na taasisi mbalimbali zilizofika katika Viwanja vya Tangamano kwaajili ya kutoa huduma kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Kupambana na Dawa za Kulevya duniani ambayo kitaifa yatafanyika Kesho Juni 26 mkoani Tanga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment