Search This Blog
Tuesday, June 25, 2019
Mrembo POSHY Qeen Awataja Wanaoongoza Kwa Chuki..Kisa Wezele Lake
MREMBO ambaye alijizolea umaarufu hivi karibuni baada umbo lake kuonekana kuwavutia watu mbalimbali Bongo, Jacqueline obeid ‘Poshy’ amewataja wanawake kama ndiyo watu wanaoongoza kwa chuki na roho mbaya na sio wanaume.
Poshy aliiambia Za Motomoto kuwa amegundua kuna wanawake wengi hawapendi kuona wenzao wanaendelea hivyo wataweka kila aina ya chokochoko ili kutibua.
“Watu tu wanashindwa kuelewa kuwa huku duniani kila mtu ana bahati yake hivyo ukiona mwenzako anafanikiwa au mwanamke mwenzako anafanya vizuri mshike mkono uzidi kumfanya ainuke ili akuinue na wewe na sio kumponda kila kukicha maana huo unaitwa wivu,” alisema Poshy ambaye tayari amejikwamua kwa kufungua duka lake la kuuza nguo za ndani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment