Search This Blog

Tuesday, June 25, 2019

Mrembo WELLU Sengo Afunguka Kuzaa Watoto Wanne....Aulizwa Kuhusu STEVE Nyerere..



MSanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo amefunguka kuzaa watoto wanne. akipiga stori na Za Motomoto, Wellu ambaye anadaiwa kuzaa na msanii mwenzake, Steven Mengere ‘Steve nyerere’ amesema kuwa anatarajia kuzaa watoto wanne ingawa hakutaka kumtaja mzazi ambaye atazaa naye.

“Natarajia kuwa na watoto wanne lakini siwezi nikasema hao watoto nitazaa na nani?”Alisema wellu, alipoulizwa kuzaa tena na Steve Nyerere, alibaki akicheka na kukata simu.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...