'Hamisa ni Mwelewa sana linapokuja swala la Mtoto na amemove on na maisha yake, ila yule wa South sio mwelewa bado haamini kama tumeachana naniblock mpaka kwenye account za intagram za watoto"
Search This Blog
Tuesday, June 25, 2019
Diamond Adai Zari Bado Anaumia Kuachana Nae, Amsifia Hamisa Mobetto na Kudai ni Muelewa
Diamond katika mkutano wa kuzindua tamasha la Wasafi, aliulizwa swali kuhusu ukaribu wake na watoto wake na kujibu kuwa kwa huyu wa Dar ambae amezaa na Hamisa Mobeto hakuna shida
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment