Search This Blog
Sunday, June 9, 2019
Balozi wa Tanzania nchini China akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee
Balozi wa Tanzania-China Mbelwa Kairuki amekutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee ya China Bi.Tina Liu.Kampuni hiyo yenye mtandao wa migahawa 2370 ya kahawa katika miji 28 nchini China imeelezea nia ya kununua kahawa kutoka Tanzania na korosho (snacks).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment