Search This Blog

Sunday, June 9, 2019

Balozi wa Tanzania nchini China akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee


Balozi wa Tanzania-China Mbelwa Kairuki amekutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee ya China Bi.Tina Liu.Kampuni hiyo yenye mtandao wa migahawa 2370 ya kahawa katika miji 28 nchini China imeelezea nia ya kununua kahawa kutoka Tanzania na korosho (snacks).



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...