Search This Blog
Sunday, June 9, 2019
Mambo mawilii yatakayojiri Ikulu leo
Rais John Magufuli leo atawaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa na Katibu Tawala Mkoa wa Njombe, Charles Kichere. Hatua hiyo inatokana na mabadiliko madogo aliyoyafanya, ambapo alitengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, & Kamishna Mkuu wa TRA.
Tukio hilo litafanyika Ikulu jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8:00 mchana sanjari na kushuhudia tukio la makabidhiano ya fedha kutoka Airtel kwenda serikalini kiasi cha shilingi bilioni 5.27.
Miongoni mwa fedha zitakazotolewa, shilingi bilioni 2.27 ni kwaajili ya kuunga mkono juhudi za serikali katika maendeleo wakati shilingi bilioni TATU (3) ni malipo ya kila mwezi yatokanayo na umiliki wa hisa za Airtel Tanzania kati ya Serikali ya Tanzania na Bharti Airtel International.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment