Huenda ikawa winga wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Mukura Victory Sports nchini humo, Patrick ‘Papy’ Sibomana amewasili kimyakimya jijini Dar kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga.
Sibomana ameaga kwao Rwanda kuja jijini Dar kumalizana na klabu ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao.
Usajili huu unaenda kufanyika Yanga ikiwa ni sehemu ya maboresho ya kkosi cha timu kwa ajili ya msimu ujao.
Ikumbukwe Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ameshasema usajili wa awamu hii utakuwa ni wa kufa mtu ili Yanga imara irejee.
http://bit.ly/2KcvRvY
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment