Search This Blog

Monday, May 27, 2019

Yanga yajiandaa kumpokea Patrick ‘Papy’ Sibomana

Huenda ikawa winga wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Mukura Victory Sports nchini humo, Patrick ‘Papy’ Sibomana amewasili kimyakimya jijini Dar kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga.

Sibomana ameaga kwao Rwanda kuja jijini Dar kumalizana na klabu ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao.

Usajili huu unaenda kufanyika Yanga ikiwa ni sehemu ya maboresho ya kkosi cha timu kwa ajili ya msimu ujao.

Ikumbukwe Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ameshasema usajili wa awamu hii utakuwa ni wa kufa mtu ili Yanga imara irejee.

http://bit.ly/2KcvRvY

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...